Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Zoezi Darasani

Ndani ya darasa moja mwalimu alitoa zoezi waandike Insha kuhusu kiwanja cha mpira wa miguu anachokifahamu... Bahati mbaya ama nzuri mwanafunzi mmoja alikua kakaa tuu hafanyi lolote mwalimu akamuuliza "we vipi mbona huandiki chochote"

Ndipo mwanafunzi akajibu "kulikua na mvua kiwanja kimejaa maji talowesha karatasi yangu."

No comments:

Post a Comment