Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Cha mwaka hiki...

Jamaa alienda kwenye party, pale mezani zikaletwa "tissue" wakati meza inaandaliwa si akazifakamia na kuanza kuzila akijua mkate mweupe, walipomuuliza akajibu mi niliona mikate yenyewe kidogo nkasema nianze kula haraka haraka...

No comments:

Post a Comment