Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Gari au mwanamke?

Katika maongezi vijana fulani walikua wanaongelea kati ya gari au mkeo nani wampenda zaidi, jamaa mmoja akadakia "weweee gari ndio nalipenda, maana gari ndio litaleta mke (mwanamke)... si kinyume chake" wenzake walicheka sana.

No comments:

Post a Comment