Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 4, 2011

Kuchelewa shule

Mtoto akimjibu mwalimu "Mwalimu nimechelewa kwa sababu baba na mama walikua wanapigana, mama alikua anatumia kiatu changu kumpigia baba nilikua nasubiri wamalize nikivae nije."

No comments:

Post a Comment