Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 4, 2011

Jela

Wafungwa watatu walipokutana jela hivi ndivyo kila mmoja alivyokua akimsimulia mwenzake:
Mfungwa wa kwanza: Nimefungwa kwa sababu niliua watu wanne.
Mfungwa wa pili: Nimefungwa kwa sababu niliiba bank.
Mfungwa wa tatu: Nimefungwa kwa sababu niliiba ghorofa. (ili aonekane na yeye sio wa kuja)

No comments:

Post a Comment