Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 5, 2011

Nyonyo

Mama mmoja kwenye daladala mtoto wake wakati anakataa kunyonya akawa anamtishi mwanae akimuambia ''nyonya au sivyo ntampa huy baba pembeni'' mtoto ndio ananyonya.

Iliendelea hivyo kwa mara 3 ndipo yule baba nae akanena ''we mama make up your mind ilikua nishuke kituo cha pili kilichopita''

No comments:

Post a Comment