Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 7, 2011

Mchaga mpirani

Mchaga mmoja mmoja kwa jina Masawe alikua anacheza nafasi ya goli kipa... Sasa wakati timu pinzani inakuja kushambulia Masawe si akamuona mtu anae mdai akaacha kuokoa goli lisiingie akakimbilia kumdai...

No comments:

Post a Comment