Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 7, 2011

Password

Jamaa mmoja na mchumba wake walienda mtembelea rafiki yao. Ilipofika wakati wa kulala wakamuomba watumie simu ya mezani kupiga mwenyeji akawajibu ''ooh ina password''

Walipouliza kuhusu computer labda watume email wakajibiwa pia ina password. Mwenyeji akawauliza kama wataoga muda huo au la! Mgeni akanena ''hamna password bafuni?''

No comments:

Post a Comment