Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 7, 2011

Wagonjwa wa akili

Wagonjwa wa akili walipanga kutoroka hospitali.
Walipanga wamvamie mlinzi wampige watoroke.
Walipofika mlangoni wakakuta mlango wazi na mlinzi hayupo. Wakanena ''dah mpango wetu wa kutoroka ushafeli'' basi waka wakaghairi.

No comments:

Post a Comment