Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 9, 2011

Mlevi wodini

Mlevi mmoja alishikwa na homa kali ghafla, akapelekwa hospitali. Alipofikishwa wodini ili apewe mapumziko akakutana na walevi wenzake wanne nao wamelazwa jamaa akafurahi sana na kumuambia nesi aliyewepo zamu muda huo "nesi zungusha round ya tatu bill kwangu"

No comments:

Post a Comment