Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 9, 2011

Wagonjwa wa akili

Wagonjwa wa akili wawili walisimamishwa ghorofani kisha wakaambiwa wakojoe kuelekea chini.
Wa kwanza akasema "dokta parefu bwana mkojo wangu utaumia"
Wa pili akasema "naogopa wataudaka wapita njia na kunivuta chini bure nikafa"

No comments:

Post a Comment