Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 11, 2011

Muchumba wa zamani

Mwanamke: Mume wangu unamuona yule pale alielewa mno?
Mume: Ndio, ni nani?
Mwanamke: Alikuwaga mpenzi wangu zamani, alikataa ndoa mi na yeye..
Mume: Ohh! Ndio maana anasherekea hadi leo...

No comments:

Post a Comment