Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 12, 2011

Za hospitali

Jamaa akimsimulia mwenzake jambo "tulipokuwa hospitali marafiki walikuja kuniona na kuniuliza 'how are you?"
Jamaa akaendelea kuonge tena "Walipokuja washkaji zangu wa karibu wakaniuliza 'vipi nesi wa ukweli?"

No comments:

Post a Comment