Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Kidhungu

Mtoto: Baba, shuleni mesikia mwalimu akisema 'idiot' maana ake nini?
Baba: Idiot ni mtu ambae anaelezea jambo fulani kwa urefu kwa mtu mwingine anaemsikiliza na bila huyo tu kuelewa. Unanielewa?
Mtoto: Hapana.

No comments:

Post a Comment