Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 3, 2010

Kuchora

Darasani siku moja mwalimu akikagua wanafunzi wake, akafika kwa mwanafunzi mmoja akakuta anachora, akamuuliza:

'enh unachora nini?' Mwalimu aliuliza.
Mwanafunzi akajibu 'namchora Mungu'
Mwalimu: lakini hamna aliyewahi kumuona Mungu.

Mwanafunzi: Watamuona sasa hivi.

No comments:

Post a Comment