Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 8, 2010

Kuku part ii

Jamaa njiani vijijini baada ya kuona/kuisi kuwa wamepotea mmoja kwenye gari akamwambia mwenzake, 'hebu tuulize kama tumepotea au tupo sahihi kwa mwanakijiji yeyote?'

Mwenzake akajibu, 'we umemuona nani? Mbona sijaona hata mwanakijiji?'

Alieuliza mwanzo akasema tena, 'basi tuwaulize hata hao kuku hapo mbele.'

No comments:

Post a Comment