Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Kwa dokta

Mwanamke mmoja alienda kwa daktari na mtoto.
Dokta: Mbona mtoto afya yake inazorota.
Mwanamke: Ndio maana nimekuja kwako dokta.

Dokta akaanza mfanyia uchunguzi, akamminyaminya chuchu, akammyonya maziwa kisha akasema ''mbona huna maziwa kabisaya kumnyonyesha?''

Mwanamke: Nalijua hilo mimi ni anti yake, ila nime-enjoy huduma yako.

No comments:

Post a Comment