Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 9, 2010

Kwa dokta

Jamaa mmnoja alienda kwa Daktari na kumuelezea daktari matatizo yake kama ifuatavyo, ''dokta mimi nna matatizo jamaa hasimami kabisa kwa mke wangu siku hizi, ntakuwa na matatizo tu.''

Dokta akamuambia, ''mlete mkeo kesho''
Kesho yake ilipofika akiwa na mke wa jamaa chumba cha daktari dokta akamuambia mwanamke ''vua nguo, geuka geuka....''

Baada ya muda akaenda kumjibu mume wa mtu, ''ndugu yangu huna matatizo kabisa hata mimi haijasimama pia.''

No comments:

Post a Comment