Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Kwa dokta.

Jamaa mmoja alienda kwa daktari kujiezea...

Mgonja: Dokta nimeng'atwa na nyigu shingoni.
Dokta: Kunywa maji sasa hivi.
Mgonjwa: Yatasaidia?
Dokta: Hapana, ila yataidia kujua kama shingo imetoboka ikavujisha.

No comments:

Post a Comment