Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Mabishano

Jamaa wawili wakitoka bar pombe imewajaa kichwani. Wakaanza bishana '' ule pale ni mwezi'' mwingine akasema ''lile ni jua''

Bahati nzuri mpita njia huyo wakamuuliza 'eti ule mwezi au jua?'
mpita njia akajibu 'samahani mi mgeni hapa'

No comments:

Post a Comment