Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Maktaba

Kaka mmoja alienda maktaba kurudisha kitabu na malalamiko kwa mtu wa maktaba, ''kitabu nlichoazima jana ovyo kweli nimekirudisha.

Mtu-maktaba: Kwa vipi? Kuna lepi?
Kaka: Kina majina ya waandishi wengi mno.
Mtu-maktaba: Oh, basi wewe ndio utakuwa ndie uliechukua kitabu chetu cha namba za simu (phone book).

No comments:

Post a Comment