Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Mbwa anang'ata?

Mtoto mmoja alikuwa na mbwa, mpita njia akamuuliza yule mtoto, 'mbwa wako anang'ata?'
Mtoto: Hapana hang'ati.
Dakika chache mbwa akamng'ata jamaa.
Akauliza 'we si ulisema hang'ati?'
Mtoto: Ndio, lakini huyu si mbwa wangu.

No comments:

Post a Comment