Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 12, 2010

Mlo wa jioni

Josh alialikwa mlo wa jioni na rafiki yake. Rafiki yake akawa kila akitaka kitu akawa anamuita mkewe 'mpenzi' 'laaziz' nk nk

Josh, 'wow! Ndani ya miaka yote ya ndoa yenu bado mnaitana hayo majina mazuri mazuri, inapendeza sana.'

Mwenyeji akajibu, ''kiukweli nimesahau jina lake.''

No comments:

Post a Comment