Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 12, 2010

Pombe bwana...

Baba mmoja alirudi kwake akiwa chakari kwa pombe.
Alipofika kwake mkewe akamfungulia mlango punde jamaa akatapika.

Alipoangalia pale alipotapikia akaona mbwa wake mdogo aliemtapikia pia kisha akaongea kilevi levi''huyu mbwa sikumbuki kama nilimla pia....''

No comments:

Post a Comment