Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 13, 2010

Usingizi

Jamaa mmoja alienda kwa dokta, ''dokta me nashindwa kabisa kupata usingizi. Mbwa wangu nyumbani ana bwaka saana usiku kucha.''

Dokta, ''oh, tatizo lako ntakutatulia. Chukua dawa hizi za usingizi zitakusaidia sana umeze kila siku wakati wa kulala.''

Siku mbili baadae jamaa akaenda kwa dokta, ''dokta nashukuru sana umenisaidia sana.''

Jamaa: Sisikii tena kelele za mbwa wangu.
Dokta: Umemeza kama nlivyokuelekeza?
Jamaa: Hapana, nimekuwa nikimpa mbwa ili alale usiku.

No comments:

Post a Comment