Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Utani bar

Siku moja jamaa kaenda bar na kuagiza konyagi.
Mhudumu akamuuliza, ''vipi una stress leo?''
Jamaa akajibu, 'ndio nimegundua kuwa mdogo wangu wa kiume ni shoga.'

Siku ya pili ivo ivo alipoulizwa akajibu, ''nimegundua kuwa mdogo wangu mwingine ni shoga pia.'

Alipofika siku ya tatu, jamaa akaagiza vodka na konyagi, mhudumu akauliza tena, ''kuna nini kwani? Nyumbani kwako hamna mtu anaependa wanawake at all?''

Jamaa akajibu, ''ndio, my wife.''

No comments:

Post a Comment