Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Bar toilet

Mwanaume mmoja alienda bar na mkewe, punde baada ya bia mbili tatu mwanaume akanyanyuka kwenda msalani. Aliporudi akamwambia mkewe 'choo cha wanawake mbona hakina tishu?'

Mkewe akauliza, 'wewe umejuaje?'
Mume: Nimejuaje? Si nlipotea baada ya kumfuata nyuma nyuma alivaa shanga kiunoni kama zako nkajua ni wewe mke wangu.

No comments:

Post a Comment