Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Shindano

Mzee mmoja alisikia kumwa tangazo kuwa mwanaume mwenye watoto 10 atazawadiwa milioni 15.

Hivyo yeye alikua na watano akamuaga mke na kumuambia 'nisubiri nkawachukue watoto wengine wa nje wa tano'

Aliporudi na wanae wa nje wale aliowaacha hawakuwepo akamuuliza mkewe 'watoto wapo wapi?'

Mke akajibu 'wamechukuliwa na baba zao pia'

No comments:

Post a Comment