Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Bia bia bia

Jamaa aliliona kreti la bia kwake, akachukua chupa moja ipo tupu na kuitupia ukutani ikavunjika akasema 'we ndo sababu sina mke.'
Ya pili, 'we ndo sababu sina watoto.'
Ya 3, 'we ndo sababu sina kazi.'
Ya 4 ilikuwa haijafunguliwa akaiweka pembeni akasema 'kaa pembeni rafiki yangu we huusiki'

No comments:

Post a Comment