Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Maumivu

Dada mmoja alienda kwa daktari hali ikawa hivi:
Dada: Dokta kila nnapojigusa panauma mwili wote.
Dokta: Ngoja nikufanyie uchunguzi.
Baada ya kumaliza daktari akampa majibu.
Dokta: Inaonyesha kuwa kidole chako ndio imevunjika...
(ndio maana kila agusapo ni maumivu tu)

No comments:

Post a Comment