Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Wagonjwa wa akili

Daktari mmoja na wagonjwa wa akili watatu. Akawaambia ''atakae weza pita kwenye ule mlango bila kugusa na mikono ataenda nyumbani''

Wa 1: Mi nkifika pale kwenye mlango ntaruka kupitia kitundu cha funguo.
Wa 2: Mi ntaruka pia na kupita kwenye tundu la ufunguo bila kugusa.
Yule wa 3 Akaenda mpaka kwenye mlango akaangali na kujibu, ''mi siwezi ruka kwenye kitundu cha funguo kuna ufunguo.''

No comments:

Post a Comment