Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Mwanasheria

Mwanasheria mmoja alifungua ofisi yake. Ikawa bado ina-speed ndogo upande wa wateja.

Siku moja akamuona mteja kwa mbali anakuja. Akanyakua simu ya mezani na ku-act anaongea wakati mteja keshafika, '...ndio ndio.. Nilishasema kesi chini ya milioni moja mimi bado siwezi...''

Alipomaliza maongezi ''oh samahani kwa kukusubirisha sana, kama unavyoona nipo bize... Karibu sana, nkusaidie nini?''

Yule mteja akajibu, ''asante, mimi nimekuja kukata line unadaiwa bill kubwa sana ya simu.''

No comments:

Post a Comment