Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

!

Mtoto akimuambia mama yake ''mama... mama nimemuona baba nje anatema mate upande wa kushoto halafu anafukia upande wa kulia.''

Mama akamjibu, ''oh no ameshakunywa uji wa mtoto.''
Mtoto alibaki haelewi elewi.

No comments:

Post a Comment