Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Kifurushi

Kulikuwa na matrafiki polisi walikuwa wakiagiza sana kifurushi cha nyama kwa baadhi ya madereva waendapo na kurudia njia hiyo hiyo.

Siku moja jamaa mmoja alimpatia kifurushi kimefungwa vizuuri hata harufu ya kilichomo haikutoka.

Trafiki alipofika nyumbani akambwagia mkewe '' mke wangu nyama hiyo...''
baada ya mda mkewe akiwa jikoni akamuambia mumewe.
''mume wangu umenichoka kiasi hiki...? Yaani unaniletea kifurushi cha kinyesi....''

No comments:

Post a Comment