Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Boti

Jamaa mmoja alikuwa anaendesha gari mbele kidogo akakutana na gari ingine inavuta boti kwenye tela lake.

Kwa vile yule wa kwanza alikosa kosa igonga ile boti, akapunguza mwendo na kumujambia yule akieikokota boti na gari yako ''bahati yako sijui kuogelea ningekufuata ulipo nikufundishe adabu...§&**€"

No comments:

Post a Comment