Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Wajawazito

Wajawazito watatu kwa daktari wakisubiri majibu yao.
Wa 1: Kama ni mjamzito basi atakuwa msichana, kwa sababu mi nilikuwa chini.
Wa 2: Kama ntakua mjamzito basi ni mvulana, kwa sababu nilikuwa juu.
Wa 3: Mh! Kama ntakua mjamzito basi watakuwa puppies (watoto wa mbwa).

No comments:

Post a Comment