Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Chai

Dokta nna tatizo, kila nkinywa chai jicho laniuma! Jamaa akimuambia dokta.

Nae dokta akajibu, ''toa kijiko kwenye kikombe wakati unakunywa chai''

No comments:

Post a Comment