Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Mtoto wa kiume

Baba: Nna mtoto wa kiume safi sana.
Rafiki: Anavuta sigara?
Baba: Hapana.
Rafiki: Anakunywa pombe?
Baba: Hapana.
Rafiki: Anarudi nyumbani usiku?
Baba: Hapana.
Rafiki: Kweli una kidume safi sana, ana umri gani sasa?
Baba: Miezi sita sasa.

No comments:

Post a Comment