Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 16, 2010

Chalinze

Mtoto mmoja alipandishwa basi kwenda Dodoma. Akamuambia kondakta kuwa akifika chalinze amuambie.

Konda akajisahau basi likapita chalinze zaidi ya kilomita 70. Konda ndio akakumbuka. Ikabidi wageuze.

Kufika chalinze wakamuambia yule mtoto 'hapa ndio chalinze' mtoto akashika mfuko wake akipekua pekua.
Wakamuuliza 'hushuki?' akajibu ''mama aliniambia nikifika chalinze ndo nianze kula.''

No comments:

Post a Comment