Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 16, 2010

Umeona nini?

Mtoto mmoja wa miaka miwili aliulizwa na baba yake, ''umeona nini wakati unasafiri mwanangu?'

Mtoto: Meona miti na nyumba ikirudi nyuma na anko nani vile yule eti mama? Alikuwa akimshika mama mashavu mama akawa anainama chini.

No comments:

Post a Comment