Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 16, 2010

Fundi kaja

Siku moja simu iliita mtoto akaipokea, ilikuwa sebuleni mama yake akiwa chumbani.

Kwenye simu alikuwa baba wa huyo mtoto.
Mtoto: ...Shkaamo baba.
Baba: Marhaba, mama yako yupo wapi?
Mtoto: Yupo chumbani mda mrefu anamsimamia fundi wa sinki. Amesema nisimsumbue mpaka fundi amalize. Usiwe na wasi wasi baba leo hatoki.

No comments:

Post a Comment