Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 16, 2010

Ng'ombe kuzaa

Mtoto mmoja aliachiwa namba za simu za dharura awapo peke yake nyumbani.

Siku moja alipoenda mabandani mwa mifugo yao nyuma ya nyumba ghafla akarudi mbio...
Kwenye simu:
Mtoto: Halo... Haloo... Hapo Hospitali?
Hosp: Ndio tukusaidie nini?
Mtoto: Njoeni haraka haraka na ambulance ng'ombe anazaa uku...

No comments:

Post a Comment