Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Darasa la kwanza

Mwalimu mmoja akiwaambia wanafunzi wake waandike tisini na tisa.
Mwanafunzi mmoja akauliza ''ndio inaandikwaje?''

Mwalimu: Unaandika tisa halafu tisa ingine.
Wanafunzi wakaandika, mmoja akawa kaandika tisa moja halafu akaulizwa na mwalimu, 'mbona huandiki tisa ingine?'
Mwanafunzi: Sijui tisa ingine naiandika/iweka upande gani?

No comments:

Post a Comment