Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Kwenye simu...

Mtoto mmoja akiwa kwao akiongea na simu, alitumia mda wa nusu saa kuongea na simu. Alipokata baba yake akamuuliza ''ajabu kulikoni leo hujaongea mda mrefu kwenye simu?''

Mwanae akamjibu ''ilikuwa wrong namba''

No comments:

Post a Comment