Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Chuo

Mkufunzi mmoja aliwauliza wanafunzi wawili wa chuo, ''ni wakati gani huwa unadhani ni wa kumpongeza mtu kwa makosa aliyofanya?''

Mwanachuo mmoja kati ya wale wawili akajibu, ''Wakati wa ndoa yao''

No comments:

Post a Comment