Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 11, 2010

Kujifungua

Mume alienda kushuhudia mkewe akijifungua. Daktari akasema nina mashine ya kuhamisha maumivu toka kwa mama kwenda kwa baba wakati wa kujifungua.

Baba akasema ni gud idea. Akakubali.
Dokta akahamisha maumivu kwa 10% bado baba hasikii maumivu. Wakaongeza ongeza mpaka ikafika asilimia zote baba yupo swafi tu.

Mama akajifungua mtoto salama. Kesho yake wakamkuta fundi viatu pale jirani na kwao kafa.

No comments:

Post a Comment