Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 7, 2010

Dereva mlevi

Dereva mmoja alikuwa amelewa akawa anaendesha gari upande sio wake. Polisi akamsimamisha na kumuambia, ''huoni kuwa upo upande sio? Hujaona mshale pale?'

Dereva mlevi akajibu, ''mshale? Wa mmasai? Sijauona, nkusaidie kuutafuta!''

No comments:

Post a Comment