Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 7, 2010

Mlevi mwingine

Mlevi mmoja alikuwa akitembea huku akirusha rusha funguo. Akakutana na jamaa akamuuliza 'vipi mwenzetu?'

Mlevi akajibu, 'hii ni funguo yangu ya gari imepotea naitafuta'

Jamaa akamwambia tena yule mlevi 'mbona na zipu ipo wazi ya suruali?'
Mlevi akajibu, ''oh, nimempoteza na mke wangu'

No comments:

Post a Comment