Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Duh! Duh! Duh!

Mwanaume mmoja alikuwa na watoto 6 siku moja alienda bar na mkewe. Bar ilikuwa imeeurika kiasi.

Jamaa alikuwa anapenda kumwita mkewe 'matha of six' sasa walipokuwa bar baada ya masaa kadhaa mumewe akamuita mkewe kwa sauti ili warudi nyumbani 'matha of 6 twende nyumbani mke wangu'

Mke nae akamjibu 'sawa fatha of 4 tunaondoka asa hivi'

No comments:

Post a Comment