Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Minyoo...

Baba mmoja a akijaribu kumfundisha mwanae madhara ya pombe. Akamchukua minyoo (worm) wawili. Mmoja akamuweka kwenye glasi ya maji wa pili kwenye glasi ya whisky.

Minyoo(worm) wa kwenye glasi ya whisky akafa, wa kwenye maji akaishi. Kisha akamuuliza mwanae.

'Enhe, Josh unajifunza nini hapa?'
Mtoto akajibu, "hapa ina maanisha nikinywa pombe sitakuwa na minyoo''

No comments:

Post a Comment